Tanzia: Muigizaji wa FUTUHI, maarufu kama Karumekenge Afariki dunia.

Bilionea Asigwa

JF-Expert Member
Sep 21, 2011
16,510
28,415
1540630509633.png


Taarifa kutoka hospitali ya Bugando zinasema mwigizaji maarufu wa Kundi la Vichekesho la FUTUHI maarufu kwajina la Karumekenge amefariki dunia jana Ijumaa, Oktoba 26, 2018 usiku wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Rufaa ya Bugando, Jijini Mwanza.

Taarifa zaidi kuwajia soon.

Source: GPL
 
View attachment 912576

Taarifa kutoka hospitali ya Bugando zinasema mwigizaji maarufu wa Kundi la Vichekesho la FUTUHI maarufu kwajina la Karumekenge amefariki dunia jana Ijumaa, Oktoba 26, 2018 usiku wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Rufaa ya Bugando, Jijini Mwanza.

Taarifa zaidi kuwajia soon.

Source: GPL
Dah! alipatwa na nini tena ndugu karumekenge
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom