Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
RipMsanii wa filamu nchini Salome Nonge maarufu kwa jina la ‘Mama Abdul’ amefariki dunia mchana wa leo - #RIP MAMA ABDULView attachment 1004705View attachment 1004706
Msanii wa filamu nchini Salome Nonge maarufu kwa jina la ‘Mama Abdul’ amefariki dunia mchana wa leo - #RIP MAMA ABDULView attachment 1004705View attachment 1004706
Mdogo wangu mimi nimekulia maporini huko tivii tulikuwa hatuzijuiAyaaaaa sema unatania,haukuwahi ona maigizo ya akina seki,bishanga enzi hizo?
Mdogo wangu mimi nimekulia maporini huko tivii tulikuwa hatuzijui
Sent using Jamii Forums mobile app
nimeona, kumbe hakuwa kaole..
Haha hamna, nakataa kabisa. Tatizo watu mliokulia mjini huwa hamuelewi kuwa kuna watu wanakaa vijijini huko wanatumia vibatari, hawajawahi kuona nguzo ya umeme mtoto anamaliza darasa la saba kijiji hiki anaenda kusoma shule ya kata kijiji kinachofuata. Mtu kama huyu hizi runinga zenu atazionea wapi?Hamna bana hapo ndo nahisi cheo cha udada kimeshakuponyoka kiulainiiiii.
kwamba hata sisi watoto wa shamba tulikuwa tunawajua? Acha utani mdogo wanguBado sijaamini maana napo walikua maarufu hao kila kona
Haha hamna, nakataa kabisa. Tatizo watu mliokulia mjini huwa hamuelewi kuwa kuna watu wanakaa vijijini huko wanatumia vibatari, hawajawahi kuona nguzo ya umeme mtoto anamaliza darasa la saba kijiji hiki anaenda kusoma shule ya kata kijiji kinachofuata. Mtu kama huyu hizi runinga zenu atazionea wapi?
Sent using Jamii Forums mobile app