Tanzia: Muigizaji wa filamu'Mama Abdul' afariki dunia

Numbisa

JF-Expert Member
Dec 12, 2016
264,052
1,075,461
Msanii wa filamu nchini Salome Nonge maarufu kwa jina la ‘Mama Abdul’ amefariki dunia mchana wa leo - #RIP MAMA ABDUL
50100454_100692414370523_4067557269887328594_n.jpg
49656676_169115850732556_4314087343071840460_n.jpg
 
Hamna bana hapo ndo nahisi cheo cha udada kimeshakuponyoka kiulainiiiii.
Haha hamna, nakataa kabisa. Tatizo watu mliokulia mjini huwa hamuelewi kuwa kuna watu wanakaa vijijini huko wanatumia vibatari, hawajawahi kuona nguzo ya umeme mtoto anamaliza darasa la saba kijiji hiki anaenda kusoma shule ya kata kijiji kinachofuata. Mtu kama huyu hizi runinga zenu atazionea wapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aaah jaman ina maana mujini ulikuja mwaka gani mamie. Nilianza waangalia kwa jirani na ugenini kila nikienda sehemu ugenini kuna video raha mustarehe.

Haya marehemu kaigiza pia toleo la juzi juzi la bongo movie inaitwa KANTANGAZE
Haha hamna, nakataa kabisa. Tatizo watu mliokulia mjini huwa hamuelewi kuwa kuna watu wanakaa vijijini huko wanatumia vibatari, hawajawahi kuona nguzo ya umeme mtoto anamaliza darasa la saba kijiji hiki anaenda kusoma shule ya kata kijiji kinachofuata. Mtu kama huyu hizi runinga zenu atazionea wapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom