TANZIA: Muigizaji mkongwe, Mzee Ojwang (Benson Wanjau) afariki Dunia nchini Kenya

Yule mwigizaji nguli wa vichekesho vya (vitimbi) kutoka kenya mzee ojwangi amefariki dunia, bwana ametoa bwana ametwaa jina lake lihimidiwe,
 
Tanzia imetanda kufuatia kufariki dunia kwa mchekeshaji mkongwe wa kipindi cha vitimbi almaarufu kama mzee Ojwang katika hospitali ya kenyatta baada ya kuugua kwa muda mfupi.mzee ojwang alikuwa na umri wa miaka78.mungu amlaze mahali pema peponi AMEN.
 
Back
Top Bottom