Tanzia imetanda kufuatia kufariki dunia kwa mchekeshaji mkongwe wa kipindi cha vitimbi almaarufu kama mzee Ojwang katika hospitali ya kenyatta baada ya kuugua kwa muda mfupi.mzee ojwang alikuwa na umri wa miaka78.mungu amlaze mahali pema peponi AMEN.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.