TANZIA: Muhadhiri Mkongwe Alhaj Sheikh Said Rico afariki dunia

Ghazwat

JF-Expert Member
Oct 4, 2015
23,718
66,262
Muhadhiri mkongwe Afrika mashariki, Alhaj Sheikh Said Omar Rico amefariki dunia majira ya saa kumi jioni, Oktoba 8, 2018 nyumbani kwake Kiwalani jijini Dar es salaam.

Alhaj Sheikh Rico wakati wa uhai wake pamoja na kuwa Muhadhiri kwa upande wa dini kwa miaka mingi, alikuwa pia mwanasiasa, ambapo aliwahi pia kugombea Ubunge kupitia chama chake cha CUF na alishiriki kupigania haki pale ambapo ilipokuwa ikitetewa

Maandalizi pamoja swala ya Jeneza yatafanyika Kesho (leo) katika msikiti wa Mtoro Kariakoo, na baada ya swala ya Adhuhuri atazikwa kwenye makaburi ya Kisutu jijini Dar es salaam.

Inna Lilah Wainna Ilayhi Rajiun..Mwenyezi Mungu amlaze mahala pema wanapolazwa wema.
IMG_20181008_202100_139.jpeg
 
Muhadhiri mkongwe Afrika mashariki, Alhaj Sheikh Said Omar Rico amefariki dunia majira ya saa kumi jioni, Oktoba 8, 2018 nyumbani kwake Kiwalani jijini Dar es salaam.

Alhaj Sheikh Rico wakati wa uhai wake pamoja na kuwa Muhadhiri kwa upande wa dini kwa miaka mingi, alikuwa pia mwanasiasa, ambapo aliwahi pia kugombea Ubunge kupitia chama chake cha CUF na alishiriki kupigania haki pale ambapo ilipokuwa ikitetewa

Maandalizi pamoja swala ya Jeneza yatafanyika Kesho (leo) katika msikiti wa Mtoro Kariakoo, na baada ya swala ya Adhuhuri atazikwa kwenye makaburi ya Kisutu jijini Dar es salaam.

Inna Lilah Wainna Ilayhi Rajiun..Mwenyezi Mungu amlaze mahala pema wanapolazwa wema.View attachment 891228

Moja kati ya Mashehe wenye itikadi kali sanaa (mdini kweli kweli)

Mrengo wake ni kama wa Shehe Ponda, Kundecha, na Marehemu Ilunga waliotamba sana 'kwa udini' kwenye utawala uliopita (2015-2005)

Anyway RIP.
 
Muhadhiri mkongwe Afrika mashariki, Alhaj Sheikh Said Omar Rico amefariki dunia majira ya saa kumi jioni, Oktoba 8, 2018 nyumbani kwake Kiwalani jijini Dar es salaam.

Alhaj Sheikh Rico wakati wa uhai wake pamoja na kuwa Muhadhiri kwa upande wa dini kwa miaka mingi, alikuwa pia mwanasiasa, ambapo aliwahi pia kugombea Ubunge kupitia chama chake cha CUF na alishiriki kupigania haki pale ambapo ilipokuwa ikitetewa

Maandalizi pamoja swala ya Jeneza yatafanyika Kesho (leo) katika msikiti wa Mtoro Kariakoo, na baada ya swala ya Adhuhuri atazikwa kwenye makaburi ya Kisutu jijini Dar es salaam.

Inna Lilah Wainna Ilayhi Rajiun..Mwenyezi Mungu amlaze mahala pema wanapolazwa wema.View attachment 891228
inna lillahi waina illahi raj'iun
 
Back
Top Bottom