barafu
JF-Expert Member
- Apr 28, 2013
- 6,726
- 32,818
Mzee Kimesera enzi za uhai wake
Kimesera aliwahi kugombea ubunge katika uchaguzi mdogo wa Jimbo la Kiteto,uchaguzi ambao ulikuwa na ushindani mkubwa sana na hatimaye CCM kuibuka na ushindi.
Ni mmoja kati ya Wazee wenye misimamo na wasioyumba,hata katika magumu ya siasa za upinzani hapa Tanzania,Kimesera aliendelea kuwa ndani ya CHADEMA,wakati wa uchaguzi mdogo wa Kiteto,Mzee Kimesera aliugua dakika za mwisho na kugundulika amepewa sumu na hivyo kuzua taharuki kubwa sana.
Upumzike kwa amani Mzee Kimesera
Pia soma...
- Mzee Victor Kimesera: Mzee Ndesamburo aliiwezesha CHADEMA kununua ofisi ya makao makuu
- KLH Exclusive: Victor Kimesera live