TANZIA Mtangazaji Violet Mzindakaya amefariki

Albert Alinanuswe

Senior Member
Oct 2, 2017
196
274
Taarifa ndio hiyo, Sister V aliyekuwa mtangazaji wa Radio Uhuru, mtoto wa Kiongizi Mkongwe hapa nchini Chrisant Majiyatanga Mzindakaya, amefariki. Tulikuwa nae Taifa juzi kwenye mechi ya Yanga na Simba na leo, ndugu yake Ben Mwanantala, amethibitisha kifo cake.

Violet.PNG
 
Back
Top Bottom