Sanctus Mtsimbe
R I P
- Jul 14, 2008
- 1,820
- 1,031
Msanii wa Maigizo Haji Jumbe ambaye amekuwa akiigiza kama Mr. Benson katika Tamthilia ya SIRI ZA FAMILIA inayotengenezwa na JASONS PRODUCTIONS na kurushwa na EATV kila Jumatatu hadi Alhamisi saa 12.30 jioni amefariki leo Jumatatu tarehe 24 October 2016 katika Hospitali ya Kinondoni. Marehemu amefariki ghafla akusumbuliwa na Tumbo.
Mazishi yatafanyika Jumanne Tarehe 25 October 2016 Saa 9 Alasiri Bagamoyo Mkoa wa Pwani.
Mr. Benson ameigiza kama Mume aliyesalitiwa na Mke wake. Aliamini kuwa ana mtoto mkubwa kumbe mke wake alimsaliti na rafiki yake.
INALILAHI WAHINALILAHI ROJIUN
Mazishi yatafanyika Jumanne Tarehe 25 October 2016 Saa 9 Alasiri Bagamoyo Mkoa wa Pwani.
Mr. Benson ameigiza kama Mume aliyesalitiwa na Mke wake. Aliamini kuwa ana mtoto mkubwa kumbe mke wake alimsaliti na rafiki yake.
INALILAHI WAHINALILAHI ROJIUN