Madawa ni buziness ya trillions of dollars .....ukiingilia wanakumalizaAise kweli
Kumbe wanataka tuzidi kuumwa Bila kupona wao wauze madawa
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Najua alishawa mtibia jacko pia left eye lopez.Unajua ni muda gani umepita tangu aliposhinda kesi hadi kifo chake akiwa gerezani kwa mashitaka ya kutakatisha fedha?
Unajua kuwa alishawahi kumtibia Michael Jackson?
Huyo hajakosoa serikali. Huyo kamtukana trump. Mwambie aimbe mambo ya kuwaunganisha watu weusi na ukatili wa polisi kwa weusi wenzao...mwambie awaamshe weusi wenzaku kuhusu kuwa the 2nd citizen kwenye nchi ambayo wameijemga wao kwa kufanyishwa kazi za utumwa. Mwambie awaashe kuwa concious na sio kuimba kuhusu pombe....uone km atakaaaSnop dog kila siku anaimba nyimbo za kumtukana Trump na kwenda kuvuta bangi karibu na WH.Kwa nini yeye asipigwe risasi kama issue ni kuikosoa serikali tu unauawa?...Inaonyesha akili yako bado mfu sana.
Huna cha kujibu .
Pole sana we pimbi usiyejitambua , unatumika bila kujifahamu, anza kusoma a e i o u, wakati wenzio wanasoma ulikua unacheza katata tatu pole yako.Anza kuvaa ngozi acha kuvaa jeans,
Acha kutumia simu na kusafiri kwa magari ndo tutaona wewe kidume haujilambishi,
Halafu ulivyo mdogo wa Barshite,unasema haujikombi kwa wazungu lkn unaandika kiingereza,
Acha uzuzumaji,kukosoa mabaya yetu siyo kutopenda asili yetu,
Siyo kujikomba kwa wazungu
Ni kipimo cha jinsi gani tunakerwa na wanaouaibisha uafrika,
Ww unajidai kuwapenda black amerika wakati wengi wao hawaichukulii afrika km kwao,
Sent using Jamii Forums mobile app
Wenzio wanatumia ujinga wako bila kujijua , amka kijana
Acha ushamba wa kushabikia vitu usivyovijua , sinema ni sinema na uhalisia ni uhalisia.
Maswali ya kitoto kabisa , ukikua utajua , subiri ukue acha kuparamia mambo.Umeujuaje utoto km ww si mtoto,
Umequotije kitu ambacho haujasoma,
Punguani
Sent using Jamii Forums mobile app
Wasiojifahamu nao wako wengi pole yenu
Ni kweli na hakuna anayebisha katika suala la kutibu kwa kutumia miti shamba. Tabu ni pale watu wanapotaka tuamini kuwa jamaa alibaniwa na ingali alikuwa akitibu na kufanya mihadhara kwa miaka 40.Najua alishawa mtibia jacko pia left eye lopez.
Yeye anasema km bibble ilivyoandika kuwa mimea ndio dawa na sio haya ya hospital. Anasema a good health menu hutaumwa ugonjwa wowote duniani.
Leo nimeanza diet yake ya kusafisha mwili kwa siku 40. Nitawaletea mrejesho. The guy was genious ....ingawa hakwenda skul
Sent using Jamii Forums mobile app
Nipm na mm iyo diet..au diet za doctor sebi nianze kula health food na mmNajua alishawa mtibia jacko pia left eye lopez.
Yeye anasema km bibble ilivyoandika kuwa mimea ndio dawa na sio haya ya hospital. Anasema a good health menu hutaumwa ugonjwa wowote duniani.
Leo nimeanza diet yake ya kusafisha mwili kwa siku 40. Nitawaletea mrejesho. The guy was genious ....ingawa hakwenda skul
Sent using Jamii Forums mobile app
Angeweka hapa tunufaike woteNipm na mm iyo diet..au diet za doctor sebi nianze kula health food na mm
Sent using Jamii Forums mobile app
Kak*joe ulale uwahi shule kesho , maana hata maana ya huna hujui , hebu google ili uelewe.