popbwinyo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 4,986
- 3,607
Km ulijua nimeandika ujinga ulirudiaje na ukaninukuu,inamaana ujinga wangu ni bora kuliko ufahamu wako,Nirudie kusoma ujinga wako ulioandika soma wewe , kuwatukana waafrika wenzio na kuwalamba wazungu , unawajua vizuri wazungu wewe au umewaona kny sinema.
Mara nyingi akili km zako ni za kurithi,
Rudia tena kusoma usione soo itakusaidia na ww usirithishe mtu ujinga,
Maana unazalisha kisichoongelewa,
Unakurupuka kuparamia itakuwa kupara..wa
Sent using Jamii Forums mobile app