Eli wallach
Member
- Oct 17, 2018
- 25
- 21
TAARIFA:
Mashaka aliugua ghafla usiku ndipo wakamkimbiza hospitali ya Amana kwa ajili ya matibabu na ilipofika asubuhi hali yake ikabadilika. Madaktari walitoa rufaa ya kumpelekea katika Hospitali ya Muhimbili (Tawi la Mloganzila), wakati ikitafutwa ambulance, akakata roho.
Mashaka alikuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa Presha pamoja na kisukari ambapo jana alizidiwa gafla na kukimbizwa hospitali, madaktari walifanikiwa kumpa huduma ya kwanza na matibabu ikiwa pamoja na kumuwekea mashine ya kupumulia ya oksijeni.
Mashaka aliugua ghafla usiku ndipo wakamkimbiza hospitali ya Amana kwa ajili ya matibabu na ilipofika asubuhi hali yake ikabadilika. Madaktari walitoa rufaa ya kumpelekea katika Hospitali ya Muhimbili (Tawi la Mloganzila), wakati ikitafutwa ambulance, akakata roho.
Mashaka alikuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa Presha pamoja na kisukari ambapo jana alizidiwa gafla na kukimbizwa hospitali, madaktari walifanikiwa kumpa huduma ya kwanza na matibabu ikiwa pamoja na kumuwekea mashine ya kupumulia ya oksijeni.