Lyamber
JF-Expert Member
- Jul 24, 2012
- 11,716
- 18,753
Mbaya zaidi anazingus halafu hakuambii sababu gani iliomfanya azingue tatizo la msongo wa mawazo linaanziaga hapoHujawahi kupenda.... Mwanamke umemuandaa,kua mke wako wa maisha... Mkazoeana,mkapanga mipango yenu,halafu anakuja zingua hua ni hatari sana,ndiyo maana wanaume wengi huanza umalaya sana au unavuta hata barmed unaoa tu kwa hasira,matokea yake ndoa inakua ndoana.....
Sent using Jamii Forums mobile app