TANZIA: Msanii Ali Salehe Kiba afiwa na baba yake mzazi

kunguni wa ulaya

JF-Expert Member
Mar 16, 2014
4,132
6,100
4f56eac64679fa649f4896ae955f4b86.jpg

Baba mzazi wa msanii wa Bongo Fleva, AliKiba (Mzee Saleh Kiba) amefariki Dunia alfajiri ya leo Januari 17, 2019 katika Hospitali ya Taifa Muhimbili jijini Dar es Salaam alipokuwa amelazwa akipatiwa matibabu.

Taarifa kuhusu taratibu za mazishi zitatolewa baada ya ndugu kukutana na kufanya mipango.

MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALI PEMA PEPONI - AMIN

RATIBA YA MAZISHI YA BABA YAKE ALIKIBA
________________________________

Maiti itaswaliwa katika msikiti wa Madina - Tandamti Kariakoo - saa 10 jioni, kisha mazishi yatafanyika makaburi ya Kisutu baada ya sala!
 
[QUOTE="Abunwasi, post: 30052718, member: 16910"]Innalilahi wainna ilahi rraajiun. Mungu awape subira.[/QUOTE]
[QUOTE="Waterloo, post: 30052788, member: 32721"]Inna lillah wayna ilayhi raj'un. Rest in peace dad[/QUOTE]

[IMG]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/300/300714.jpg?1488477203[/IMG]

feitty
JF-Expert Member
Joined Jul 10, 2015
rep.png
1,923
like.png
2,215
point.png
280

6 minutes ago New #9

Inna Lillah wa Inna Ilahi Rajiun


Samahani wapendwa, tena narudia samahani. Huwa napenda nitumie hayo maneno kutoa faraja kwa watu wangu wa karibu ambao ni waumini wa dini ya kiislamu wanapopatwa na msiba. Hivi linaandikwaje kwa usahihi. NImeona nyie wote watatu mmeandika tofauti tofauti
 
[QUOTE="Abunwasi, post: 30052718, member: 16910"]Innalilahi wainna ilahi rraajiun. Mungu awape subira.
[QUOTE="Waterloo, post: 30052788, member: 32721"]Inna lillah wayna ilayhi raj'un. Rest in peace dad[/QUOTE]

[IMG]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/300/300714.jpg?1488477203[/IMG]

feitty
JF-Expert Member
Joined Jul 10, 2015
rep.png
1,923
like.png
2,215
point.png
280

6 minutes ago New #9

Inna Lillah wa Inna Ilahi Rajiun


Samahani wapendwa, tena narudia samahani. Huwa napenda nitumie hayo maneno kutoa faraja kwa watu wangu wa karibu ambao ni waumini wa dini ya kiislamu wanapopatwa na msiba. Hivi linaandikwaje kwa usahihi. NImeona nyie wote watatu mmeandika tofauti tofauti[/QUOTE]Yote ni sahihi kwamaana ya tafsri yake lakini kwa usahihi zaidi wa kisarufi liandikwe kwa lugha ya kiarabu.hapa tumeandika kwa lugha ya kilatini/ Romani alphabet. Kwahiyo hata mimi sijui usahihi wake ni upi.
 
Back
Top Bottom