kwani alikuwa tilalila? RIP MpokiPole sana kwa msiba huu hasa kwa jamii. Mwenyezi Mungu awape faraja!
PIA katika kipindi hiki cha sherehe za KRISMASI na MWAKA mpya.
Watu WAPUNGUZE kunywa POMBE!
Sijui. Rai yangu ni general tu.!kwani alikuwa tilalila? RIP Mpoki
Mjomba, langu lilikuwa ni Rai tu kwa ujumla!Mjomba hoja ya hapa ni msiba , hayo mambo ya pombe yametoka wapi tena ?
Sijui mkuu. Langu lilikuwa ni ku RAI tu!kwani alikuwa tilalila? RIP Mpoki
Aliugua au alipotea , halafu baadaye akaokotwa kafa ? Hebu weka vizuri hapo maana nchi hii sasa hivi haijulikani mchana wala usiku .
Habari mpasuko nduo nini? Hebu kuwa serious