Tanzia: Mke mdogo wa Mzee Yusuph afariki dunia wakati akijifungua

mamaafacebook II

JF-Expert Member
Aug 16, 2016
2,513
3,533
Mke mdogo wa aliyekuwa muimbaji wa miondoko ya taarabu, mfalme Mzee Yusuph aitwae Chiku amefariki usiku huu katika hospitali ya Amana alipokwenda kujifungua

Chiku amefariki yeye pamoja na mtoto.

Inna Lillahi wa inna ilayhi raji'un

CHIKU.jpg

 
Mke mdogo wa aliyekuwa muimbaji wa miondoko ya taarabu mfalme mzee Yusuph aitwae Chiku amefariki usiku huu katika hospitali ya Amana alipokwenda kujifungua

Chiku amefariki yeye pamoja na mtoto pia amefariki


Taarifa zaidi nitawapatia ndo tupo huku msibani tukimfariji Mzee Yusuph.
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom