mamaafacebook II
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 2,513
- 3,533
Mke mdogo wa aliyekuwa muimbaji wa miondoko ya taarabu, mfalme Mzee Yusuph aitwae Chiku amefariki usiku huu katika hospitali ya Amana alipokwenda kujifungua
Chiku amefariki yeye pamoja na mtoto.
Inna Lillahi wa inna ilayhi raji'un
Chiku amefariki yeye pamoja na mtoto.
Inna Lillahi wa inna ilayhi raji'un