DT Msabila apumzike kwa amaniNi huzuni na kilio kisicho na kifani kuondokewa na mwalimu, mwandishi mahiri wa somo la Geography (Physical na Human) ndugu yetu Dominic Thabit Msabila (D.T).
Mwalimu Msabila kwa kutumia kalamu yake amewasaidia vijana wengi kwa kutoa vitabu vyake kupitia kampuni ya Nyambari Nyangwine Publishers.
Mwalimu Msabila amekuwa Mhadhiri Chuo Kikuu Mzumbe akifundisha kozi za lugha na lugha ya kisheria.
Bwana ametoa na bwana ametwaa, Amina
Mbona kuna wanaokanusha na kusema si yeye ila ni ndugu yake
Niliyagongaga maswali yote ya Gravitational ya Roger muncaster..daaah ila UNIVERSITY PHYSICS nilinyanyuaga mikono..mhhhSawa mkuu lakini amini maswali yote ya fluid mechanics ya muncaster nliya solve
Yote mkuu.... Maswali ambayo nliicha baadhi ni electronics ya muncaster
Hasa kwenye operational amplifier kuna swali la kimbanda sana pale
Au Monk House!Kwanini alikuwa hapendi kutumia Nelkon??..alikuwa anataka mtumie Roger Muncaster au kitabu gani??