Ohoooooo!!!Tanzania akifa mtu mwenye akili na aliyetoa mchango mkubwa kwa taifa watu wanapiga kimya.
Subiri afe mkata viuno uone watu wanavyolia hadi kupoteza fahamu.
Nchi ina watu wanaopenda kudumisha upumbavu kuliko kuenzi fikra za maendeleo na ndio maana haiendelei.
R.I.P Professor.
Wabongo bwana...
Sasa wewe unajifanya kusikitika ulikua unamjua marehemu mwenyewe!!
Ama unafuata mkumbo tuu...
Wanaotakiwa waumie ni mke wake na watoto wake basi...
[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
Nishafiwa na dada,kaka,mtoto,babu,bibi,uncle,baba mdogo na mkubwa,shangazi,jirani,lafiki yangu kipenzi,,kwa hiyo sijui afe nani nitaumia,huyo HIZA misimjui na haniumizi
Hujaombwa kuumia. Umepewa taarifa. Unaweza ipotezea pia.
Mkuu hata mimi nimegundua hilo.Aisee arosto ni mbaya sanaa
Yatakufika wewe ndo itakuwa mwisho wa jeuri yako.R.I.PNishafiwa na dada,kaka,mtoto,babu,bibi,uncle,baba mdogo na mkubwa,shangazi,jirani,lafiki yangu kipenzi,,kwa hiyo sijui afe nani nitaumia,huyo HIZA misimjui na haniumizi
Duh!!!Kujifanya nimeumia???? Khaaaaa....
Yaani sinaga muda kupoteza mtu simjui amekufa nianze kubwatuka "ooh RIP"
Huo ni Upimbi.. Wanaotakiwa waumie ni mke wake na watoto wake basi.
[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
Uungwana vitendo kama huna hisia za huruma naona ulibaki na huruma za ukatiri/ujahiri why uoneshe hisia mbovu mbele ya watu.Nishafiwa na dada,kaka,mtoto,babu,bibi,uncle,baba mdogo na mkubwa,shangazi,jirani,lafiki yangu kipenzi,,kwa hiyo sijui afe nani nitaumia,huyo HIZA misimjui na haniumizi
Duh!!!wewe kweli bandidu.Wabongo bwana...
Sasa wewe unajifanya kusikitika ulikua unamjua marehemu mwenyewe!!
Ama unafuata mkumbo tuu...
Wanaotakiwa waumie ni mke wake na watoto wake basi...
[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
Uungwana vitendo kama huna hisia za huruma naona ulibaki na huruma za ukatiri/ujahiri why uoneshe hisia mbovu mbele ya watu.
Yatakufika wewe ndo itakuwa mwisho wa jeuri yako.R.I.P
KhaaaNishafiwa na dada,kaka,mtoto,babu,bibi,uncle,baba mdogo na mkubwa,shangazi,jirani,lafiki yangu kipenzi,,kwa hiyo sijui afe nani nitaumia,huyo HIZA misimjui na haniumizi
Pole...Nishafiwa na dada,kaka,mtoto,babu,bibi,uncle,baba mdogo na mkubwa,shangazi,jirani,lafiki yangu kipenzi,,kwa hiyo sijui afe nani nitaumia,huyo HIZA misimjui na haniumizi