Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 49,654
- 68,608
Dina aiseee na huyu akiondoka basi itakua hatare
Hahhhha alinusurikaaa
Dina aiseee na huyu akiondoka basi itakua hatare
Lulu ana wapenzi wangapi? Hivi Jonhson Lukaza hamkazi huyu binti
Hhhhaaa yaan nimechekaaa lo
sasa, kama ana mke na watoto, itakuwaje kwenye mirathi ya icho kijacho? hivi wanawake kwanini huwa mnavamia waume za watu?ona sasa.
Una uhakika na ulichopost?...una muhukumu lulu ww kama nan?...lulu ni binadamu kama sisi unategemea atakua katika hali gan wote tukimuandama?..ni vyema kuacha ushabiki usio na maana
Itakuwa sawa na kuzuia mafuriko kwa mikono, habari imeshasambaa kwny mitandao yote ya kijamii, huko Bingo Movie sijui kuna nini siku hizi...kunedorora sana na hata sioni watu wakiangalia movie za Kibongo km enzi za Kanumba
Kile kidoti au kinundu cha kichwani ndo kinachoua watu.
Hahhhha alinusurikaaa
Ile sheria serikali iongeze majengo ya magereza mengii
Ha ha ha we jamaa mtata Sana..
Alipofariki yule rubi wa chichiemu niliwafafanulia kule kwetu ukiona bnt wanaume wanakwisha ujue anakitu ambacho kinaota juu yashimo la kujisaidia kinyama kidogo a.k.a Kimenengu,hiki kinautaratibu wa kukatwa kwa utaratibu wa kimila,kuna dawa ya kienyeji unafanyanyiwa alafu unakatwa unaondoa mikosi yote,sasa wale walio karibu na Lulu wakiona ujumbe huu anitafute kupitia jf gharsma yake ndogo akzarau wanaume watakwisha,
Teh teh connection Nzuri kweli lukaza ...hamkaziLulu ana wapenzi wangapi? Hivi Jonhson Lukaza hamkazi huyu binti
Nakwambia lulu ataliaa weee akimaliza msiba tu kimyakimya atakuja kukanusha kwamba hakuwa na mahusiano na huyo mtu na wala hamjui!!chezea lulu