na huyu pia alikuwa bilionea??? naulizaa tuotherwise RIP mdogo wake marejesho
Mungu awape wepesi katika kîpindi hichi kigumu! Na roho ya Marehemu ipate rehema kwa Mungu, apumzike kwa Aman!
Pole sana marejesho
Hakika tutakuwa pamoja jioni ya leo!
naomba uniwakilishe hapo mwenzangu kwenye msiba huo
pole shem kwa kuondokewa na shem wako
pole best wangu wa ukweee marejesho Mungu afanyike faraja kwenu na familia nzima
awatie nguvu katika kipindi hichi kigumu kwenu
mwambieni na Young Master na my cousin Passion Lady watakuwa hawafahamu hapa
'Valentina' mbona jana sijakuona kwa marejesho!