Babu Kijiwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2010
- 4,762
- 4,576
Mchezaji wa zamani aliyewahi kuzichezea timu za Simba na Yanga pamoja na timu ya taifa ya Tanzania Ally Yusuph Tigana, amefariki dunia leo katika Hospitali ya Amana jijini Dar es Salaam baada ya kuugua kwa muda mfupi.