Diana Spencer
JF-Expert Member
- Nov 14, 2018
- 3,609
- 5,124
Ndo kwanza namsikia
WEKA MBS ZAKOOWeka clip zake..
Aliwai kuwa mwenza wake mkuu. ila kuhusu mtoto sina hakikaPole kwa wafiwa.
kuna sehemu nimeona wameandika huyu binti aliyefariki ni mzazi mwenzie na msanii Mboso sijui kuna ukweli???
Ni kweli mkuu ila walifanya siriPole kwa wafiwa.
kuna sehemu nimeona wameandika huyu binti aliyefariki ni mzazi mwenzie na msanii Mboso sijui kuna ukweli???
Ni kweli chiefPole kwa wafiwa.
kuna sehemu nimeona wameandika huyu binti aliyefariki ni mzazi mwenzie na msanii Mboso sijui kuna ukweli???
Tupo wengi kumbe...Ndo kwanza namsikia
Mimi siwez enda peponi mzeebaba..mim ni wajehanamu tumfuate pepon mzee baba
Hamna kitu hapo hyo ni ngwengwe...now days zinakata ghafla sanaUti wa mgongo uliopelekea malaria.
Kuna ugunduzi mpya hapa.
hivi marais huwa wanakufa kweli?
Hamna kitu hapo hyo ni ngwengwe...now days zinakata ghafla sana
Kazi yake Mola haina makosa, vita alivipiga mwendo ameumaliza, apumzike kwa amani!
Hakika........Ameni...tuliobaki tunalo la kujifunza
🤣What the hell is this...si uandike Kiswahili tu
duuuuuh mpaka unajipa nafasi ya jehanamu mzee baba utakuwa una miti kasi yenye giza zito la matendo konki sanaaMimi siwez enda peponi mzeebaba..mim ni wajehanamu tu