Apumzike kwa amani Mungu ailaze roho yake mahali pema pepon. Hvi tangu achaguliwe alishawahi kuhudhuria kikao chochote cha bunge? Sijawahi kumsikia bungeni wala nilikua simfahamu.
Hakika kupimwa afya kabla ya kuwania kuwawakilisha wananchi ni muhimu! Wabunge zaidi ya wanne wa chama kimoja kufa magonjwa ambayo mtu ukiyapata hupaswi kuwa muwakilishi wa wananchi lipo jambo!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.