Anko Sam
JF-Expert Member
- Jun 30, 2010
- 3,200
- 820
Nimesikia alikuwa amelazwa ICU kwa mwaka mzima, wakati huohuo jina lake linaonekana kwenye walioipigia kura ya NDIYO kupitisha KATIBA YA CHENGE! Alipigaje kula akiwa anapigania uhai wake ICU?!
RIP Don Max mbuge wa jimbo lenye Dhahabu lakini halina Maji ya Bomba!
RIP Don Max mbuge wa jimbo lenye Dhahabu lakini halina Maji ya Bomba!