- Thread starter
- #21
Kave mna mbare!Iyee... Koshuma nivetu...
Efwiee Muhimbili, vakamuete heavyo na ndeghe ya kwanza. Eena lukundo sana mfumwa wetu
Kave mna mbare!Iyee... Koshuma nivetu...
AmeenRIP mzee koshuma. Umeipigana vita
Ila wewe! jamaniiiii!!!!!Angedanja mwenyekiti wao ingekuwa poa sana. Alisikika yatima mmoja akisema kwa sauti kubwaa
Wapare akili kubwa! hahahahahahahhahahahahahKwanza hapo Mwanza ujinga gani umewaingia hadi Mpare awe Mbunge. Mwanza imekuwa Dar es Salaam?
Upuuzi puuzi wa namna hii ndio umesababisha tuna Rais Mgeni.
Ngoja niombe msaada kwa huyu kaka myoyambendi
Ndio. Ndio waanzilishi wa shule za kupanda gari za njano tangia miaka hiyooooKumbe alikua mmiliki wa shule kadhaa
We jamaa bwana zinakutosha kweli?Kwanza hapo Mwanza ujinga gani umewaingia hadi Mpare awe Mbunge. Mwanza imekuwa Dar es Salaam?
Upuuzi puuzi wa namna hii ndio umesababisha tuna Rais Mgeni.
Ndio. Ndio waanzilishi wa shule za kupanda gari za njano tangia miaka hiyoooo
[/QUOTE
aisee msiba usikie tu kwa wengine machungu yake hayamithiliki
Poleni sana
Ahsante. mzee alikuwa ni miongoni mwa walezi wa umoja wa wapare hapa Mwanza.
Dar wazaramo wamekimbia wote, hamna namna,ishakuwa sandakalawe hii.Wapare akili kubwa! hahahahahahahhahahahahah
Mbona Da Halima Mdee anatamba huko Dar!
Ahsante kiongoziPoleni kwa msiba na Mungu awatie nguvu kwenye kipindi hiki kigumu.
mmmmh