Moderator
Supervisor
- Nov 29, 2006
- 698
- 1,129
Maxence Melo (Mkurugenzi wa Jamii Media na Mwanzilishi wa JamiiForums) amefiwa na baba yake mzazi usiku wa kuamkia leo Kijijini kwao Bukoba.
Taratibu za msiba zinafanywa na zitaletwa hapa mara baada ya kukamilika. Mazishi yatafanyika Kijijini kwao Kantare, Bukoba.
Mwenyezi Mungu ailaze roho ya Marehemu mahala pema Peponi.
Taratibu za msiba zinafanywa na zitaletwa hapa mara baada ya kukamilika. Mazishi yatafanyika Kijijini kwao Kantare, Bukoba.
Mwenyezi Mungu ailaze roho ya Marehemu mahala pema Peponi.