samilakadunda
JF-Expert Member
- Oct 13, 2011
- 1,780
- 354
mungu awatie nguvu katika kipindi hiki kigumu, RIP BABA
Maxi kumbe wa Bukoba?Pole sana ndugu yangu.Mungu akupe nguvu na uvumilivu na utayari wa kuchukua majukumu mapya ktk familia.Hata yeye nae alimlilia babake ambaye ni babu yako.Nasi tutaliliwa siku moja.Mungu amlaze pema waishio walio watkatifu.
Maxence Melo (Mkurugenzi wa Jamii Media na Mwanzilishi wa JamiiForums) amefiwa na baba yake mzazi usiku wa kuamkia leo Kijijini kwao Bukoba.
Taratibu za msiba zinafanywa na zitaletwa hapa mara baada ya kukamilika. Mazishi yatafanyika Kijijini kwao Kantare, Bukoba.
Mwenyezi Mungu ailaze roho ya Marehemu mahala pema Peponi.
-------------
Kwa wale wanaouliza namna ya kutoa rambirambi tunaomba mtumie namba ya Kampuni ya Jamii Media ambayo ni 0765949146.
Wasalaam!