Mzee wa Rula
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 8,171
- 3,346
UPDATES.
Kwa niaba ya familia yake Matwi ametoa shukrani nyingi kwa wote waliofanikisha mazishi ya marehemu baba yake kwa njia moja ama nyingine. Anasema amefarijika sana.
Taarifa kutoka kwa wafiwa, ni kuwa mazishi yatafanyika siku ya Jumatatu (17.10.2011). Ibada ya kumwombea marehemu itaanza kuanzia saa sita na ni tumaini letu hadi saa nane kila kitu kitakuwa kimekamilika. Ombi, tunaomba wanaJF wote walio Arusha wajitahidi kudhuria mazishi hayo ili tuonyeshe mshikamano wetu kivitendo.
Wana JF member mwenzetu aitwaye Matwi amefiwa na baba yake mzazi jana (13.10.2011). Msiba upo NAIC Usa - Arusha. Kifo cha marehemu kimesababishwa na ajali gari, yaani aligongwa na hiace. Mara kikao cha familia kitakapokaa mtajulishwa ni lini mazishi yatafanyika na wapi. WanaJF wa Arusha natumaini wengi wenu mtakuwa mlishatumiwa message ya taarifa ya msiba huu, hivyo mnahitajika kuwa flexible pindi tutakapopata taarifa ya lini mazishi yatafanyika. Aidha ni imani yetu kuwa wapo wana JF wengi ambao hawatambui uwepo wa umoja wa wanaJF Arusha, hivyo tunawasihi nao wajitokeze kwa wingi baada ya kupata updates kupitia thread hii au wanaweza kumPM PakaJimmy au Mzee wa Rula kwa habari zaidi. Kwa niaba ya wanaJF Arusha napenda kutoa pole kwa familia ya marehemu, tunasema BWANA AMETOA NA BWANA AMETWAA, JINA LA BWANA LIBARIKIWE.
Kwa niaba ya familia yake Matwi ametoa shukrani nyingi kwa wote waliofanikisha mazishi ya marehemu baba yake kwa njia moja ama nyingine. Anasema amefarijika sana.
Taarifa kutoka kwa wafiwa, ni kuwa mazishi yatafanyika siku ya Jumatatu (17.10.2011). Ibada ya kumwombea marehemu itaanza kuanzia saa sita na ni tumaini letu hadi saa nane kila kitu kitakuwa kimekamilika. Ombi, tunaomba wanaJF wote walio Arusha wajitahidi kudhuria mazishi hayo ili tuonyeshe mshikamano wetu kivitendo.
Wana JF member mwenzetu aitwaye Matwi amefiwa na baba yake mzazi jana (13.10.2011). Msiba upo NAIC Usa - Arusha. Kifo cha marehemu kimesababishwa na ajali gari, yaani aligongwa na hiace. Mara kikao cha familia kitakapokaa mtajulishwa ni lini mazishi yatafanyika na wapi. WanaJF wa Arusha natumaini wengi wenu mtakuwa mlishatumiwa message ya taarifa ya msiba huu, hivyo mnahitajika kuwa flexible pindi tutakapopata taarifa ya lini mazishi yatafanyika. Aidha ni imani yetu kuwa wapo wana JF wengi ambao hawatambui uwepo wa umoja wa wanaJF Arusha, hivyo tunawasihi nao wajitokeze kwa wingi baada ya kupata updates kupitia thread hii au wanaweza kumPM PakaJimmy au Mzee wa Rula kwa habari zaidi. Kwa niaba ya wanaJF Arusha napenda kutoa pole kwa familia ya marehemu, tunasema BWANA AMETOA NA BWANA AMETWAA, JINA LA BWANA LIBARIKIWE.