PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,203
- 8,724
Nasikitika sana kupata taarifa hizi ambazo ni mbaya sana!
Mkuu Matwi, we ni mwanaume, kaza moyo, ndiyo ya dunia!
Naamini kuwa unamjua Mungu, na una tumaini la uzima wa milele!
Basi kama ndivyo, amini kuwa baba yu hai kiroho, na ipo siku utakuwa naye pamoja!
Pole sana kiongozi, tupo pamoja.
Mkuu Matwi, we ni mwanaume, kaza moyo, ndiyo ya dunia!
Naamini kuwa unamjua Mungu, na una tumaini la uzima wa milele!
Basi kama ndivyo, amini kuwa baba yu hai kiroho, na ipo siku utakuwa naye pamoja!
Pole sana kiongozi, tupo pamoja.