myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 147,648
- 656,484
apumzike pema
mkuu nani kakuambia alikuwa na adhabu mpaka apunguziwe?Tunamuomba mwenyezi ampunguzie adhabu
Kwa kuwa aliisha jiondoa CHADEMA tangu july 2015, hivyo kutumia neno aliyekuwa Mbunge wa viti maalum kupitia CHADEMA sio mahala pake ni vema mkaandika aliyekuwa mwanachama wa CCM na msiihusishe CHADEMA kwani hadi mauti yanamkuta huyu alikuwa CCM.
Kwa kuwa aliisha jiondoa CHADEMA tangu july 2015, hivyo kutumia neno aliyekuwa Mbunge wa viti maalum kupitia CHADEMA sio mahala pake ni vema mkaandika aliyekuwa mwanachama wa CCM na msiihusishe CHADEMA kwani hadi mauti yanamkuta huyu alikuwa CCM.
Wakati mauti yanamkuta hakua mbunge wa viti maalum wala mwanachadema.R.I.p Mbunge viti Maalum Chadema pole kamanda Mbowe na wanachama wote wa Chadema.
Alishatoka huko chadema amefia kwa wenyeweR.I.p Mbunge viti Maalum Chadema pole kamanda Mbowe na wanachama wote wa Chadema.
R.i.p
Ndo ugonjwa gani huo?Solo Guitar.
mmmhhhhhhhh..... nyie noma jueni kwa bahat mbaya sana kwa mungu hakuna vyamaShetani kazini
Ndo ugonjwa gani huo?
alikuwa anasumbuliwa na nn
Alikuwa anaumwa nini?
Nyie sema tu RIP, hayo mengine achana nayoAlikua anaumwa ugonjwa gani?
kwani huwa wanapokelewa kwa vurugu au vita??Mpokee kwa amani sote ndo njia yetu ila nimesikitishwa sana mkuu
Kujua alichokuwa anaumwa ni sawa na kuleta habari ya kifo chake, kwahiyo ni sawa tu kuhojiNyie sema tu RIP, hayo mengine achana nayo