fungi
JF-Expert Member
- Mar 18, 2014
- 2,539
- 4,668
Mchezaji wa zamani wa Nigeria Stephen O. Keshi a.k.a the Boss amekufa ghafla kwa shambulio la moyo.
Kwa maelezo ya wanafamilia na marafiki wa karibu kocha huyo wa zaman wa super eagles hakuonyesha dalili zozote za kuumwa.
Alikuwa akiishi na mama yake na watoto wake wa nne
Keshi ni kocha pekee mzawa wa Nigeria kushinda Afcon mwaka 2013.
R.I.P Legend
Kwa maelezo ya wanafamilia na marafiki wa karibu kocha huyo wa zaman wa super eagles hakuonyesha dalili zozote za kuumwa.
Alikuwa akiishi na mama yake na watoto wake wa nne
Keshi ni kocha pekee mzawa wa Nigeria kushinda Afcon mwaka 2013.
R.I.P Legend