wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 24,688
- 26,796
Ndio kwenye chemba yakeMoyo unahamaga?
Anyway RIP kaka
Ndio kwenye chemba yakeMoyo unahamaga?
Anyway RIP kaka
Tayari TANESCO walikuwa wameanza mchakato
Fizibiliti stadi hiyo, ndio maana mzee aliwaka sana kule masasi kuhusu maneno kama haya!
So sad. sasa wale waliomtapeli pikipiki wasiachwe.
Magu au majaliwa akining'iniza mtu mbup mnasema ni kauli za kuiipatia umaarufu.R.I.P Hamad.
Eti Tanesco walikuwa kwenye mchakato, walikuwa wameshachakata mpaka wapi!?
Hii 'mikauli' ya kisiasa huwa inachefua sana.
Apumzike kwa amani!
Ameimaliza safari.. alikuwa anatia huruma Sana.
Kuna siku wamemuonyesha ITV Kama sio TBC chozi lilinidondoka.
Ebu tia nyama kidogo kuhusu hicho kisa mkuu..So sad. sasa wale waliomtapeli pikipiki wasiachwe.
Wewe ndo Mjinga mkubwastupid!