TANZIA Kijana aliyempiga makofi Rais Ali Hassan Mwinyi afariki dunia

Town Hustler

JF-Expert Member
Oct 25, 2016
278
364
Waungwana

Yule kijana aitwaye Ibrahim Said almaarufu Sultan mkazi wa Mabibo Loyola amefariki dunia asubuhi hii

Marehemu alijipatia umaarufu kutokana na kitendo chake cha kumchapa kibao mzee Mwinyi kwa kitendo cha kuhimiza sijui matumizi ya kondomu ambayo ni kinyume na imani ya Kiislamu

Ndo tunajiandaa kwa mazishi mchana huu
 
Mara ya mwisho nilimuona miezi miwili iliyopita, nilipaki gari pale IFM posta, akaja akaanza kukunja side mirror kwa nguvu. Nilikosa cha kumfanya kwa muda huo, maana alikuwa amerukwa na akili. Niliwauliza wenyeji huyu chizi katoka wapi, ndiyo wakanipa historia yake.
Daaah, kumbe mshikaji ameshafariki!!!
R.I.P
 
Tulisoma wote Umoja Primary School Mabibo
O level kasoma Ilboru
A level kasoma PCM Tabora Boys

Baada ya hapo matatizo yakaanza
Mara ya mwisho nilimuona miezi miwili iliyopita, nilipaki gari pale IFM posta, akaja akaanza kukunja side mirror kwa nguvu. Nilikosa cha kumfanya kwa muda huo, maana alikuwa amerukwa na akili. Niliwauliza wenyeji huyu chizi katoka wapi, ndiyo wakanipa historia yake.
Daaah, kumbe mshikaji ameshafariki!!!
R.I.P
 
Back
Top Bottom