mkaruka ataja rinu
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 3,309
- 2,218
Ndio John Guninitandio nani
Ndio John Guninitandio nani
Jukwaa la siasa hili umekuja kufanya nini kama kwako ni kituo cha polisisawa mie ndio kinda la leo asubuhi, sio wote ni wanasiasa humu, wengine kwetu siasa ni kama kituo cha polisi, nauliza tena ndio nani?
sijalikuta kwenye jukwaa la siasa, nilikuwa nasoma kwenye habari mchanganyika,Jukwaa la siasa hili umekuja kufanya nini kama kwako ni kituo cha polisi
alirudi kwenye upigajiAliwahi kujaribu siasa za upinzani ila baadaye akabaini si mchezo akaamua kurudi ccm
Petro E. MselewaNakushukuru mkuu MSELEWA kwa ufafanuzi wako hapo juu,ila watanzania wenzangu tujitahidi mno how to comments mtu anapokuwa amefariki,elewa aliyefariki ni binadamu mwenzetu nasi tupo njia hiyo hiyo,na aliyefariki hana uwezo wa kujitetea kwa tuhuma tunazomtuhumu,alitumia haki yake kikatiba kwenda kwenye chama chochote cha kisiasa alichokipenda kwa wakati ule,na hakufanya kosa lolote .sisi ndio nani wenye haki ya kuhukumu???