TANZIA: Joel Bendera, aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Manyara, afariki dunia katika Hospitali ya Taifa Muhimbili

Pumzika kwa Amani ndugu yetu Joel Nkaya Bendera . Taifa lita kukumbuka kama mwana michezo bora katika nchi yetu kwa kuifundisha timu yetu ya Taifa hadi tukasiriki kwenye fainali za mataifa uhuru barani Afrika kama yaluvyo julilikana kipndi hicho . R.I P.

Acha upotoshaji, Tanzania ilishiriki michuano ya Africa 1980 kwa timu iliyopaswa kushiriki kutokushiriki na sio kwa kufuzu au uwezo wa kocha. R.I.P Bendera.
 
Siyo kweli, ICU ni Very intensive care Unit.

Inategemea case na case, mgonjwa yeyote anayetoka kwenye oparesheni kubwa kabla ya kupelekwa wodini ni lazima akae ICU angalau kwa masaa 48 kabla ya kupelekwa wodini Cube one.
Labda alikuwa alikuwa na maana ya Hospice!
 
Bendera baada ya kuachia nafasi ya mkuu wa mkoa wa Manyara alijishughulisha na kazi gani wadau? mwenye kujua tafadhali aje hapa atujuze
 
Kwa heri kiongozi wetu shupavu, Kwa utu na uchapakazi uliokuwa nao pamoja na ucha Mungu wako, Naamini umepokewa Paradiso. Linalotufariji ni kuwa wewe huwezi kurudi ila sisi tutakufuata hivyo kumbe tutakutana nawe tena kwa furaha. Poleni wanafamilia Mungu wa Ibrahim, Isaka, na Yakobo awajaalie roho ya uvumilivu. Amen.
 
Kwa taarifa yako Tanzania ili shirki kwa kufuzu baada ya kuifunga Zambia goli moja kwa bila goli lilofungwa na Peter Tino, nina mashaka kuwa labda ulikuwa hauja zaliwa ,
 
Back
Top Bottom