Ooh my good!
Mungu aitwe mungu mungu usiyepangiwa mungu usietabiriwa mungu usiefundishwa Bali ni mungu atandae linalompendeza,
Deo we loves u but god loves u more
Rest in peace deo
idawa wote tumeshtushwa sana na msiba huu wa Deo hivyo anaepanga kifo ni Mungu ndo huamua kwa wakati wake hivyo hili tumwachie Mungu ndo ajuae hujawahi ona hata kwenye familia waweza kuta yule mtu mzuri mwenye Upendo na wenzie ama mwenye kitu ambacho wengine hawana anakufa mapema anawaacha mwenye roho mbaya yote ni mipango ya Mungu
Poleni wafiwa wote. KIfo cha Deo Filikunjombe ni pigo kubwa si kwa Ludewa pekee wala CCM, bali ni kwa Taifa zima. Deo alijipambanua kama mwanasiasa kijana aliyeweka mbele maslahi ya nchi, tofauti na wanasiasa wengine ambao kwao vyama ni zaidi ya nchi. Mara ya mwisho tulionana na kuaungumza na Deo katika hoteli ya St, Gasper, Dodoma. Hatuna la kufanya isipokuwa kumshukuru Mungu kwa kila jambo.
Kwa habari nilizozipata hivi punde ni kwamba aliyekuwa mbunge wa Ludewa Deo Filikunjombe amefariki dunia katika ajali ya helikopta iliyoanguka huko mbuga za selous Morogoro. Mwenye taarifa zaidi kuhusu tukio hilo naomba atujuze.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.