hii helkopta ingekuwa.imembeba nape kwakweli
Juzi nilikuwa na mtu mmoja wa Ludewa.. Akaniambia tangia siasa za vyama vingi zianze hakuna mbunge aliyerudi mara mbili bungeni katika jimbo lao, na ni Deo pekee ndiye ambaye angekuwa wa kwanza.. R.I.P Deo