Ni ngumu kuamini ila mapenzi yako yatimie Mungu wetu, lakini kibinadamu tunakuona Mungu kama umetudhulumu.
Alikuwa bado kijana potential kwa mustakabali wa nchi yetu.
Wafariji wafiwa, e Mungu wetu.
Kwaheri Deo! Mmoja wa wazalendo wachache walio bakia CCM, nilipenda sana michango yako Bungeni,hakika "Wema hawana maisha".... Nukuu ya wimbo wa Balisidya .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.