Mnazareth
JF-Expert Member
- Dec 4, 2017
- 3,474
- 7,401
Mbunge wa Viti Maalumu (CCM) na Mchungaji wa Kanisa la Mlima wa Moto (Mikocheni B Assemblies of God ) Mchungaji Dk. Getrude Lwakatare amefariki dunia Alfajiri ya leo. Mtoto wa amarehemu amethibitisha kifo.
Mtoto wa Marehemu Mama Rwakatare, Mutta Rwakatare amethibitisha kwa kusema
"Ni bahati mbaya imetokea asubuhi ya leo saa 11 kasoro, alikuwa na matatizo ya moyo, jana tulimkimbiza Hospitali lakini bahati mbaya imetokea, tupo katika hatua ya kuangalia namna gani tutafanya ili tuweze kumpumzisha mama yetu" amesema Muta.
Marehemu alikuwa kiongozi wa kiroho, mmiliki wa Shule za St. Mary's na pia mwanasiasa.
Mwaka 2007, Mama Rwakatare aliingia kwenye siasa rasmi baada ya kuteuliwa kushika nafasi ya Marehemu Salome Mbatia aliyekufa kwa ajali. Soma Mchungaji Getrude Rwakatare amrithi marehemu Salome Mbatia - JamiiForums
Aidha, Mwaka 2017 aliteuliwa tena kuwa Mbunge wa Viti Maalum akichukua nafasi ya Sophia Simba. Soma Dr. Getrude Rwakatare ateuliwa kuwa Mbunge wa Viti Maalum nafasi ya Sofia Simba - JamiiForums
Matukio mengine:
Mwaka 2012, Mama Rwakatare aliichongea JF Bungeni. Soma Mama Lwakatare aichongea JamiiForums
Mwaka 2013, Mama Rwakatare alifiwa na Mumewe, Mzee Kennedy Rwakatare. Soma TANZIA: Mch. Getrude Rwakatare amefiwa na mumewe
=============
Tutakukumbuka kwa mchango wako kwenye nyanja za elimu na jamii kwa ujumla.
Umepigana vita na mwendo umeumaliza
Upumzike kwa amani!!
WASIFU WA MAMA RWAKATARE
Hon. Rev. Dr. Getrude Pangalile Rwakatare
Phone : +255679997051
P.O Box : P. O. Box 8844, Dar es Salaam
Email Address : g.rwakatare@bunge.go.tz
Date of Birth : 1950-12-31
Education History :
Employment History :
Political Experience :
PIA SOMA
Mchungaji na Mbunge Getrude Rwakatare azikwa na Serikali kanisani kwake (Mlima wa Moto) na watu wasiozidi 10 - JamiiForums
Mtoto wa Marehemu Mama Rwakatare, Mutta Rwakatare amethibitisha kwa kusema
"Ni bahati mbaya imetokea asubuhi ya leo saa 11 kasoro, alikuwa na matatizo ya moyo, jana tulimkimbiza Hospitali lakini bahati mbaya imetokea, tupo katika hatua ya kuangalia namna gani tutafanya ili tuweze kumpumzisha mama yetu" amesema Muta.
Marehemu alikuwa kiongozi wa kiroho, mmiliki wa Shule za St. Mary's na pia mwanasiasa.
Mwaka 2007, Mama Rwakatare aliingia kwenye siasa rasmi baada ya kuteuliwa kushika nafasi ya Marehemu Salome Mbatia aliyekufa kwa ajali. Soma Mchungaji Getrude Rwakatare amrithi marehemu Salome Mbatia - JamiiForums
Aidha, Mwaka 2017 aliteuliwa tena kuwa Mbunge wa Viti Maalum akichukua nafasi ya Sophia Simba. Soma Dr. Getrude Rwakatare ateuliwa kuwa Mbunge wa Viti Maalum nafasi ya Sofia Simba - JamiiForums
Matukio mengine:
Mwaka 2012, Mama Rwakatare aliichongea JF Bungeni. Soma Mama Lwakatare aichongea JamiiForums
Mwaka 2013, Mama Rwakatare alifiwa na Mumewe, Mzee Kennedy Rwakatare. Soma TANZIA: Mch. Getrude Rwakatare amefiwa na mumewe
=============
Tutakukumbuka kwa mchango wako kwenye nyanja za elimu na jamii kwa ujumla.
Umepigana vita na mwendo umeumaliza
Upumzike kwa amani!!
RAIS MAGUFULI ATUMA SALAMU ZA RAMBIRAMBI
TAARIFA YA BUNGE
TAARIFA YA BUNGE
WASIFU WA MAMA RWAKATARE
Hon. Rev. Dr. Getrude Pangalile Rwakatare
Phone : +255679997051
P.O Box : P. O. Box 8844, Dar es Salaam
Email Address : g.rwakatare@bunge.go.tz
Date of Birth : 1950-12-31
Education History :
School Name/Location | Course/Degree/Award | From | To | Level |
---|---|---|---|---|
Mood Bible Institute , Chicago, USA | Bachelor of Arts in Theology (Mass Com.) | 1984 | 1988 | Bachelor Degree |
North London Polytechnic | Diploma in P/M | 1974 | 1975 | Diploma |
Railways' College | Certificate | 1971 | 1972 | Certificate |
Korogwe Girls Secondary School | CSEE | 1965 | 1968 | Secondary School |
Ifakara Girls Primary School | CPEE | 1961 | 1964 | Primary School |
Mbingu Primary School | - | 1957 | 1960 | Primary School |
Employment History :
Company/Institution | Position | From | To |
---|---|---|---|
Tanzania Harbours Authority | Personnel Manager | 1970 | 1983 |
Pan African Christian Women Assembly | Chairperson | 1989 | 1993 |
Mountain of Fire Assemblies of God | Pastor | 1995 | 2017 |
St. Mary's International Schools | Director | 1996 | 2017 |
St. Mary's Teachers College | Director | 2003 | 2017 |
Mountain of Fire Assemblies of God | Presenter | 2004 | 2017 |
Political Experience :
Political Party | Position | From | To |
---|---|---|---|
Parliament of Tanzania | Member of Parliament | 2017 | 2020 |
Parliament of Tanzania | Member of Parliament | 2007 | 2010 |
Parliament of Tanzania | Member of Parliament | 2010 | 2015 |
Chama cha Mapinduzi | Guardian to the District Women Wing | 2005 | 2005 |
Community Development Committee of the Parliament | Member | 2007 | 2010 |
Social Services Committee of the Parliament | Member | 2010 | 2015 |
PIA SOMA
Mchungaji na Mbunge Getrude Rwakatare azikwa na Serikali kanisani kwake (Mlima wa Moto) na watu wasiozidi 10 - JamiiForums