Huwa naliriletesha na gridi ya taifaKwani Wewe ninavyokuwa naandika hilo neno langu ' pendwa ' kabisa la ' Dally Kimoko ' huwa unaelewa nini? Tuanzie hapa Kwanza.
All possibles might be a sister or a wife, just a matter of name!check your facts please
sarah ni dadake ephraem
Ukifiwa na bibi mzaa bibi ni sawa.na mke?hivi huwa kuna msiba mdogo?
Ukifiwa na bibi mzaa bibi ni sawa.na mke?
sasa wewe umefiwa na bibi yupi hadi useme msiba ni mkubwa? nyie ndio wale ambao akifa tajiri au mtu maarufu mnasikitika kuliko anapokufa ndugu yako wa karibu asiye maarufuUkifiwa na bibi mzaa bibi ni sawa.na mke?
Usimkufuru MUNGU, huyo unaesema hana faida kwako, ni mzazi wa mtu na anaowanaompenda......utajiskiaje mtu ambaye wewe haumjui wala haujawahi kumuona anakuombea kifo au upatwe na janga baya na haukumkosea lolote personally?!Watu roho nzur ndyo wanakufa lkn wenye maroho mabaya wanapeta tu...sometime Mungu awe anaangalia hizi mambo,how come anawaacha akina mawe na Bash baby?
Nimetoka kumchana hapo juu......kuwa angejisikiaje kama yeye angeombewa mauti au majanga ya mkute....?!How comes anakuacha hadi wewe mwenye kuombea watu mauti???