mhuri25
JF-Expert Member
- Sep 3, 2016
- 2,666
- 3,451
Kwa wale waliopita UDSM hasa toka SoED, CoNAS na wale wa CoSS& CoHU mzee wetu mkufunzi wetu Dr Cajetan K. Maganga Mzee wa EF 100 ametutoka hatunae tena. namkumbuka mzee huyu kwa jinsi alivyokuwa mwalimu mashuhuri sana katika Philosophy of Education na alivyokuwa simple sana wale wadau wa CAFE ONE hata Kama sio wa Education utakuwa unamfahamu kwa kumuona katika foleni ya MENU
Typed Using KIDOLE
Typed Using KIDOLE