Jembe Jembe
JF-Expert Member
- Jun 9, 2016
- 749
- 1,797
Diwani wa Kata ya machame Magharibi Mkoani Kilimanjaro,MARTIN Munisi anasikitika kutangaza kifo cha Baba yake mzazi Mzee Danieli Ngatara Munisi kilichotokea machame Jana Tarehe 23/11/2018 .
Mazishi yatafanyika siku ya jumatatu tarehe 26/11/2018 nyumbani kwa marehemu kijiji cha Kieri habari ziwafikie ndugu jamaa na marafiki wote bwana ametoa na bwana ametwaa Jina la bwana lihimidiwe
[https://lh3]Diwani Martin Munisi kulia, akiwa na Baba yake mzazi aliyefariki dunia
Mazishi yatafanyika siku ya jumatatu tarehe 26/11/2018 nyumbani kwa marehemu kijiji cha Kieri habari ziwafikie ndugu jamaa na marafiki wote bwana ametoa na bwana ametwaa Jina la bwana lihimidiwe
[https://lh3]Diwani Martin Munisi kulia, akiwa na Baba yake mzazi aliyefariki dunia