MAMA POROJO
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 4,974
- 785
chadema watajipongeza kwa bia fuatilia lugha yao hapa JF
RIP,cdm get prepared
Mkuu ni yule aliyeandamana kupinga posho kwa kuvaa magunia?Diwani wa CCM, kata ya Daraja Mbili - Arusha Mjini amefariki. Mh Diwani Bashir Msangi, amefariki kwa ugonjwa wa presha.
RIP
R.I.P diwani wa magamba,hiyo kata itakuwa ya CDM.
pole sana CCM na wafiwa wote
Jamani ni mapema mno kuzungumzia uchaguzi sasa tusije tukwa kama Z'bar walioshindwa hata kuzikana kwa sababu ya itikadi ya siasa tu
Diwani wa CCM, kata ya Daraja Mbili - Arusha Mjini amefariki. Mh Diwani Bashir Msangi, amefariki kwa ugonjwa wa presha.
RIP
chadema watajipongeza kwa bia fuatilia lugha yao hapa JF
RIP Mh Diwani.
Kwa leo tusiongelee habari za nafasi yake ya udiwani...tuache kwanza hadi apumzishwe kwa amani kwanza!...Ustaarabu!
Mkuu ni yule aliyeandamana kupinga posho kwa kuvaa magunia?