OgwaluMapesa
JF-Expert Member
- May 24, 2008
- 10,942
- 428
Chief Gilead shangali amefariki dunia leo asubuhi akiwa katika matibabu Nairobi kenya.Msiba huko nyumbani kwake machame moshi.poleni sana wafiwa,Rongare, Stella , Winnie , Kenedy, Diana, na wanafamilia wote.Bwana alitoa na bwana ametwaa.Rest in peace mangi shangali