Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,332
- 14,255
Una uhakika lakini mkuu?any way,DUNIA HADAA ULIMWENGU NI SHUJAA.
heeee kumbeee ndio maana wengine walikuwa wanaaga huku wanacheka mwee mwanangu kuwa uyaone.
thubutuKifo ni njia nzuri sana ya Kukwepa deni, kama kuna mtu anajiamini akufuate makaburini
ndo ccm walivo aise,ila kwa sasa jambo jema tumuache marehemu apumzike kwa amani.CCM hawakumsaidia Komba kukomboa shule zake lakini wanamkombolea Dr Slaa jengo lake,
Kuna somo hapa kwa viherehere wa ccm
Lady Jay dee aliwahi kutuambia Siku hazigandiDah... Yan mwaka umepita hivi hivi??? Ama kweli...