TANZIA Captain John Komba afariki Dunia

Heeee kumbeee ndio maana wengine walikuwa wanaaga huku wanacheka mwee mwanangu kuwa uyaone.


ImageUploadedByJamiiForums1425575749.325497.jpg
 
Ha ha ha.. Ni hadithi nzuri lakini haina chembe ya ukweli.. Komba alikuwa anadaiwa karibia bilioni moja.. Kiinua mgongo chake kisingefika hata milioni 300.. Halafu kusema imeliwpa yote ibaki milioni 47 ndo imshinde..! Unawajua mafisadi huwajui wewe..? Si unasikia wanasema milioni 10 ni hela ya mboga tu.. Ina maana milioni 47 ni kama hela ya mchele tu kwa hiyo asingeweza kukosa..

A-RIP panapomstahil..
 
Back
Top Bottom