Tanzia: Balozi Jaka Mwambi amefariki dunia leo

Niko kwenye msiba hapa nyumbani kwa barozi mstaafu mzee wetu Bw. Jack Mwambi ambaye ametutoka muda so mrefu
===
Jaka Mgwabi Mwambi ni mwanasiasa na mwanadiplomasia wa Tanzania. Mwambi alikuwa Kamishna wa zamani wa Mkoa wa Rukwa, Mkoa wa Tanga na Mkoa wa Iringa na alikuwa Naibu Katibu Mkuu wa chama cha Mapinduzi cha Chama Cha Mapinduzi, hadi alibadilishwa na George Mkuchika, Mwanachama wa Bunge kutoka wilaya ya Newala, Novemba 2007.

Mwambi aliteuliwa kama Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa Shirikisho la Urusi, na aliwasilisha sifa zake kwa Wizara ya Mambo ya nje ya Urusi mnamo tarehe 24 Julai 2008, na kwa Rais Dmitry Medvedev mnamo 18 Septemba 2008
 
Huyu jamaa aliwahi pokea Ada za wanafunzi waliokuwa wanasoma Ukraine na Urusi akazila, wanafunzi wakafukuzwa hostel na serikali ikaamua kuwarudisha watoto wa watu wakiwa wameshapoteza wengine miaka miwili Hadi mitatu
Muda huu huu alikua anajieleza kuhusu huo ujinga. Yuko selo moja na yule jamaa aliyekua usalama yule mtoa kucha. Chumba kimejaa siafu, mbu na kunguni
 
Huyu jamaa aliwahi pokea Ada za wanafunzi waliokuwa wanasoma Ukraine na Urusi akazila, wanafunzi wakafukuzwa hostel na serikali ikaamua kuwarudisha watoto wa watu wakiwa wameshapoteza wengine miaka miwili Hadi mitatu

Umekosa malezi ya pande mbili, marehemu hasemwi vibaya misiba ya Kiafrika, tunatakiwa kufunika na kusahau kila ushetani wake na kumsifia kwa mapambio.

Japo Mungu mwenyewe hasahau, anakufufua, anakuchomelea moto!
 
Umekosa malezi ya pande mbili, marehemu hasemwi vibaya misiba ya Kiafrika, tunatakiwa kufunika na kusahau kila ushetani wake na kumsifia kwa mapambio.

Japo Mungu mwenyewe hasahau, anakufufua, anakuchomelea moto!
Dameti
 
Umekosa malezi ya pande mbili, marehemu hasemwi vibaya misiba ya Kiafrika, tunatakiwa kufunika na kusahau kila ushetani wake na kumsifia kwa mapambio.

Japo Mungu mwenyewe hasahau, anakufufua, anakuchomelea moto!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Alikufaga kibaka tulipika na ubwabwa tukakesha na kigodoro marehemu hasemwi hiyo vibaya veeeepe.......
 
Back
Top Bottom