gubegubekubwa
JF-Expert Member
- Jun 9, 2008
- 637
- 814
Kwa taarifa nilizozipata kutoka kwa mtu aliekaribu na familia hii ni kwamba, balozi mstaafu Captain Jaka Mwambi amefariki dunia leo
Kwa taarifa nilizozipata kutoka kwa mtu aliekaribu na familia hii ni kwamba, balozi mstaafu Captain Jaka Mwambi amefariki dunia leo
Ina Maana Jaka siyo jina alilopewa na Wazazi wake?Pole sana Jakaya kufiwa na Room mate wako Chuoni Udsm aliefikia hatua ya kubadili Jina na kujiita Jaka kutokana na Urafiki wenu
Poleni sana Wana Familia
Duhhhh...
Hasi huu mwezi ukiisha, sijui wanagapi watakuwa wameng'ata shuka..!!??
Apumzike kwa amani Jaka
Ndio hivyo tena nyama ya udongoPole sana Jakaya kufiwa na Room mate wako Chuoni Udsm aliefikia hatua ya kubadili Jina na kujiita Jaka kutokana na Urafiki wenu
Poleni sana Wana Familia