Kinyungu
JF-Expert Member
- Apr 6, 2008
- 17,361
- 33,002
Utapost sana kama hizi. Hadi mtie akili
Utapost sana kama hizi. Hadi mtie akili
Swali kubwa sana hili; sio kwasababu limeandikwa kwa herufi kubwa!AISEE HALI NI TETE TUNAKWISHA JAPO WANASEMA HIVI VIFO SIO VYA CORONA ILA KWA NINI IWE WAKATI HUU WA CORONA NDO VIFO VINAZIDI?!
Mbona unatoa rip mara mbili mbili!!!?Mahiga RIP
Acha waendelee kudanganya hivyo ila vitakapofika kwa wasemao hivyo ndipo watakiri kwamba ni vya Corona.AISEE HALI NI TETE TUNAKWISHA JAPO WANASEMA HIVI VIFO SIO VYA CORONA ILA KWA NINI IWE WAKATI HUU WA CORONA NDO VIFO VINAZIDI?!