Tanzia: Aramu Kaigwe, Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi jimbo la Kasulu Vijijini, auawa kwa kukatwa mapanga
Mwkiti wa Chama NCCR-Mageuzi Nyarugusu, Jimbo la Kasulu Vijijini Ndugu Aramu Kaigwe, ameuawa kwa kukatwa katwa na Mapanga hadi mauti yake. Tukio hilo limefanywa na Watu wasiojulikana!
Ni Imani yetu sote hawa watu wasiojulikana, uchunguzi wa Police utawapata.
Poleni sana wafiwa wote hasa familia yake waliokuwa wakimtegemea kimaisha na Ndugu zake wote.
Poleni sana majirani wake na wana kasulu wote. ARAMU KAIGWE alikuwa mwenyekiti wa tawi la Nyalugusu Kata ya heru bushingo, amepigwa mapanga mpaka kifo.
NCCR-Mageuzi itamkumbuka kwa kazi kubwa aliyoifanya kujenga chama.
Lini tena jamani?!Kuna wajinga wanapandikiza ubaguzi ,na baadhi wanatekeleza hayo wajuavyo,mnatupeleka wapi?!Angalizo tusichukilie poa kifo cha binadamu mwenzetu!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.