TANZIA Aliyewahi kuwa Waziri na Mwenyekiti wa Bodi ya TTCL, Omary Nundu amefariki dunia

Inawezekana kweli kulikuwa upigaji hela za matibabu ya nje lakini si vizuri kusema Watanzania wote watatibiwa hapa hapa. Hili wimbi la viongozi au wake wa viongozi kufariki mikononi mwa madaktari wetu limekuwa kubwa.

Hivi kweli huyu Dr Harrison Mwakyembe na Prof Mwandosya wangekuwa wameugua kipindi hiki cha Meko wangepona na kurejea kwwnye afya walizonazo leo kwa huduma za MNH? Last month mke wa AG Killangi alikufa pia.

Ikibidi kiongozi aende nje kwa matibabu nashauri aende tu, ila kama kuna mtu anataka kupiga hela, adhibitiwe mbona mifumo ipo.
Huko nje hawafi?
 
nisiwe mnafiki,hawa watu wa kijani wafe tu tena wafe,hawa ndio bungeni kazi yao huwa ni ndiooooo na kupiga vigelegele.
 
Mwenyezi Mungu ampumzishe kwa amani na awape faraja wafiwa wote katika wakati huu mgumu na wa majonzi. Amina
 
Duniani tunapita tu!!
Ni kweli kabisa tunapita,ila wale wanaojifanyaga sana kuwadhulumu na kuwatesa wenzao kwahilo basi wakumbuke kuwa hapa duniani tunapita,maamuzi wanayopewa na viongozi wao hayatawasaidia siku ya kufa na katika kaburi utakalolazwa,Jamani tuishini kwa adabu na heshima katika hii dunia
 
13 Reactions
Reply
Back
Top Bottom