BOB OS
JF-Expert Member
- Dec 11, 2011
- 3,427
- 6,786
mkuu solomon matumbo amefariki ni Miaka imepita sasaR I P Mama Shelukindo Beatrice Matumbo.Poleni wafiwa hasa mdogo wake Solomon Matumbo wa Mt Meru Hospital.
mkuu solomon matumbo amefariki ni Miaka imepita sasaR I P Mama Shelukindo Beatrice Matumbo.Poleni wafiwa hasa mdogo wake Solomon Matumbo wa Mt Meru Hospital.
Duh sikuwa na taarifa unajua Solomon alikuwa mtu wangu wa karibu sana sema mitungi ilitutenganisha kiasi fulani.mkuu solomon matumbo amefariki ni Miaka imepita sasa
so sad mkuu ni kitambo toka amefariki...Duh sikuwa na taarifa unajua Solomon alikuwa mtu wangu wa karibu sana sema mitungi ilitutenganisha kiasi fulani.
Mjifunze ugonjwa au maradhi ya mtu ni mambo binafsi na kama kwenye taarifa hawajasema huna haja ya kuuliza hilo,toa pole uende zako
Mkuu mbona Dr Soloo ( Solomon Matumbo) alishatangulia mbele ya haki kitambo miaka kadhaa sasa, charlii safii sana wa Arusha city! Mungu azilaze roho zao mahali pa pumziko la milele yeye na huyu dada yake, tuseme ameen.R I P Mama Shelukindo Beatrice Matumbo.Poleni wafiwa hasa mdogo wake Solomon Matumbo wa Mt Meru Hospital.
Akili za kuambiwa...Lete taarifa kamili amefia wapi, alikuwa na maradhi au ni ajali?
Guys mnatakiwa kuelewa, mleta mada alivyoleta hiyo taarifa haikuwa imekamilika na mimi nilikuwa miongoni mwa watu wa mwanzo kuweka maoni yangu.Akili za kuambiwa...